Mkongwe wa mchezo wa ndondi, Mike Tyson ambaye ana umri wa Miaka 58 inadaiwa anafikiria kurejea ulingoni kupigana baada ya kupoteza pambano dhidi ya Jake Paul (28) iiwa ni mara ya kwanza baada ya kustaafu miaka 20 iliyopita.
Licha ya pambano lake lililopita kukosolewa na wengi lakini lilikuwa...