mike tyson

Michael Gerard Tyson (born June 30, 1966) is an American former professional boxer who competed from 1985 to 2005. Nicknamed "Iron Mike" and "Kid Dynamite" in his early career, and later known as "the Baddest Man on the Planet", Tyson is regarded as one of the greatest heavyweight boxers of all time. He reigned as the undisputed world heavyweight champion from 1987 to 1990. Tyson won his first 19 professional fights by knockout, 12 of them in the first round. Claiming his first belt at 20 years, 4 months, and 22 days old, Tyson holds the record as the youngest boxer ever to win a heavyweight title. He was the first heavyweight boxer to simultaneously hold the WBA, WBC and IBF titles, as well as the only heavyweight to unify them in succession. The following year, Tyson became the lineal champion when he knocked out Michael Spinks in 91 seconds of the first round. In 1990, Tyson was knocked out by underdog Buster Douglas in one of the biggest upsets in boxing history.
In 1992, Tyson was convicted of rape and sentenced to six years in prison, although he was released on parole after three years. After his release in 1995, he engaged in a series of comeback fights, regaining the WBA and WBC titles in 1996 to join Floyd Patterson, Muhammad Ali, Tim Witherspoon, Evander Holyfield and George Foreman as the only men in boxing history to have regained a heavyweight championship after losing it. After being stripped of the WBC title in the same year, Tyson lost the WBA title to Evander Holyfield by an eleventh round stoppage. Their 1997 rematch ended when Tyson was disqualified for biting Holyfield's ears, one bite notoriously being strong enough to remove a portion of his right ear. In 2002, Tyson fought for the world heavyweight title, losing by knockout to Lennox Lewis.
Tyson was known for his ferocious and intimidating boxing style as well as his controversial behavior inside and outside the ring. With a knockout-to-win percentage of 88%, he was ranked 16th on The Ring magazine's list of 100 greatest punchers of all time, and first on ESPN's list of "The Hardest Hitters in Heavyweight History". Sky Sports described him as "perhaps the most ferocious fighter to step into a professional ring". He has been inducted into the International Boxing Hall of Fame and the World Boxing Hall of Fame.

View More On Wikipedia.org
  1. Mike Tyson aliingia katika Uislamu kwa Hasira tu na mihemko. Simwoni kama ana Uislamu

    Jamaa ana shamba kubwa sana la bhange. Yaani ndo biashaara kubwa anayofanya huyu jamaa. Of course huwa anaonekana smetmes kabisa kibarghashia..... But hamna lolote huyu jamaa ana fanya mishe mishe zake zile zile na msuba anavuta kinyama. Najiuliza ilikuwa tu ni hasira ya kufungwa miaka ile au...
  2. Mkongwe Mike Tyson afikiria kurejea ulingoni kupigana tena

    Mkongwe wa mchezo wa ndondi, Mike Tyson ambaye ana umri wa Miaka 58 inadaiwa anafikiria kurejea ulingoni kupigana baada ya kupoteza pambano dhidi ya Jake Paul (28) iiwa ni mara ya kwanza baada ya kustaafu miaka 20 iliyopita. Licha ya pambano lake lililopita kukosolewa na wengi lakini lilikuwa...
  3. Kweli Mike Tyson ndio wa kukosa hii hook, hakika ile match ilikuwa stage play

    Cheki hapa, huyu dogo hii hook ingemuweka chini moja kwa moja na ikawa KO ila mike akaipotezea, chek hii clip hapa chini Laiti hio hook mike angeituma kichwan kwa huyo dogo wangemtoa dogo hapo akiwa kwenye stretcher. Na ukicheki vzr mike alifake punch dogo akaidefend kisha akamuachia access...
  4. Baada ya Tyson kupoteza kwa Jake Paul, Evander aomba pambano la tatu na Tyson. Tyson amekataa, asema sasa ni urafiki tu!

    Wakongwe Tyson na Evander wakiwa sasa ni marafiki. Mike Tyson na Evander Holyfield wana historia ndefu na zitakazodumu kwa karne nyingi sana kwenye historia ya mchezo wa ndondi, na kama Evander anavyotaka, labda siku moja Mungu akipenda, kuna uwezekano wa nyongeza ya ukurasa katika kitabu cha...
  5. Match ya Boxing kati ya Mike Tyson na Jake Paul, matokeo yalikwisha pangwa

    Wengi mlioangalia Boxing match kati ya Youtuber Paul Logan na bondia nguli Mike Tyson, mnaweza kudhani Mike Tyson ameshindwa, ila kiuhalisia Mike Tyson alipangwa kuuza match hili amfanye Paul Logan kuwa maarufu zaidi, ni mbinu za kibiashara za kumkuza Paul Logan, na tayari media nyingi za...
  6. Masumbwi: Jake Paul ashinda pambano dhidi ya Mkongwe Mike Tyson

    - Jake Paul aibuka mshindi..... Score ilivyokuwa baada ya pambano. - Pambano limeishaaaaaa! - Jake anarusha ngumi huku kama anamsubiria Mike hivi, ila Mike anaonekana kachoka, zimebaki sekubde 26 - Round ya MWISHO. - Jake karisha punch mbili tatu mwishoni, round ya 7 imeisha. Wanafuta...
  7. Nani ataibuka mshindi Jake Paul vs Mike Tyson?

    Leo ni mpambano mkali kati Jake paul na Mkongwe Mike Tyson nani unadhani ataibuka mshindi? Kwa huku kwetu ni saa 10 Alfajiri kesho
  8. Unaambiwa P. Diddy kwa 50 Cent aligonga mwamba

    50 Cent anasema siku ya kwanza alipogundua uchafu wa P. Diddy ilikua kwenye studio za tv, wakiwa katika live interview kwenye tv P. Diddy alimwambia 50 Cent, "50 nataka nikutoe out siku 1 nkufanyie shopping unaonaje ofa hiyo bro?" 50 Cent anasema alishtuka na kujibu pale pale kwa hasira, "Huyu...
  9. Mike Tyson ni Mcongo

    Baada ya kufanya vipimo vya DNA ili kujua babu yake alitoka wapi barani Africa, amegundua kwamba babu yake alitoka Congo. Ingawa hakuweza wazi whether is Brazzaville or Kinshasa but tuna assume ni Kinshasa kwa sababu, when you just say "Congo" then we know it is " Kinshasa". It is like when...
  10. Pambano la Mike Tyson na Jake Paul laahirishwa

    Pigano lililopangwa kati ya Mike Tyson na Jake Paul limeahirishwa. Kucheleweshwa huku kunatokana na dharura ya kiafya iliyomhusisha Mike Tyson, ambapo alipata kichefuchefu na kizunguzungu wakati wa ndege, hali ambayo baadaye ilihusishwa na kuongezeka kwa kidonda. Ingawa wawakilishi wa Tyson...
  11. Mike Tyson hazeeki

  12. Kuna uwezekano 20th July, 2024 Mike tyson akarudi Ulingoni kupambana na Jake Paul

    Mike tyson mwenye umri wa miaka 57, na Jake Paul mwenye umri wa miaka 27, wameonesha nia ya kuingia ulingoni na kuzichapa. Una maoni gani juu ya huu mpambano, nani unampa karata yako ya ushindi? Cc: Maghayo
  13. Mike Tyson kuzichapa na Jake Paul July 20 mwaka huu

    Mike Tyson vs Jake Paul officially announced as date set biggest event in boxing history. Jake Paul rose to combat sports fame when he knocked out former NBA player Nate Robinson on the undercard of Mike Tyson's exhibition boxing match with Roy Jones Jr. in 2020. Now, Paul, the...
  14. Mike Tyson na Evander Holyfield katika picha ya pamoja, nguvu ni kitu cha kuisha

    Hawa ni wababe ambao mwishoni mwa miaka ya 90 waliitikisa dunia katika ndondi. Moja ya pambano la kukumbukwa ni mmoja wao kung’atwa sikio. Kwasasa wamezeeka ama kweli nguvu ni kitu cha kuisha.
  15. Unapewa billion 23 kumuoa binti wa Tyson

    Bondia Mike Tyson ambaye anasumbuliwa na magonjwa ya uzeeni ameahidi kiasi cha shilingi Bilioni 23 za Kitanzania kwa mwanaume yeyote atakayejitokeza kwa ajili ya kumuoa binti yake mwenye uzito wa kilo zaidi ya 120. Tyson amefanya hivyo ili aweze kushuhudia binti yake akiolewa kabla ya kifo...
  16. Mike Tyson, The baddest man on the planet

    Mike Tyson disclosed a peculiar incident from the late 80's when he offered $10,000 to a zookeeper to fight a Silverback gorilla. Tyson known as "The baddest man on the planet" rented out a New York zoo for romantic stroll with his then wife but got the idea to confront the gorilla when they...
  17. Kisa cha TUPAC SHAKUR hadi P-DIDDY kuhusishwa na kifo chake

    Ni usiku mkubwa, wa pambano la kati ya Mike Tyson na Sheldon. Ni usiku ambao ulitokea tukio moja kubwa na la kusikitisha sana kwenye ulimwengu wa muziki. Huku pambano likiwa limemalizika na watu kurudi majumbani kwao na wengine kuendelea kula bata katika hoteli kubwa ya MGM, milio ya risasi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…