Amesikika waziri Mwigulu kuwa hazina yetu iko salama na zaidi sana Iko mikono salama:
Kwa mwendo huu waziri Mwigulu analenga kusema nini hasa?
Na kadhalika na kadhalika hadi chefu.
Rais Samia Suluhu Hassan amepokea ripoti ya ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mwaka 2021/2022 kutoka kwa CAG pamoja na ripoti ya TAKUKURU.
Baada ya kupokea ripoti hiyo Rais Samia Suluhu amesema "Ukisoma ripoti ya TAKUKURU ya mwaka juzi nilipopokea kijiti na ripoti ya sasa utaona kabisa kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.