mikopo benki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. monde arabe

    Je, inawezekana mfanyakazi bank akaomba mkopo Kwa kutumia taarifa za mteja?

    Habar za Leo ndugu wanajukwaa, Siku chache zilizopita nilienda kwenye tawi la bank Moja maarufu hapa nchini kwaajili ya ku-process mkopo kutoka kwenye bank hiyo.Afisa mikopo alinipigia mahesabu na ikaonekana kuwa naweza kupata kiasi cha zaidi ya milioni tisa za Kitanzania.Leo nikampigia cm...
  2. D

    Moment: Benki ya Finca ilivotunyoosha mimi na familia yetu kisawa sawa

    Daah maisha yanatupitisha kwenye moments ambazo ni ngumu kusahaulika. Moja ya moment ambayo sitakuja kuisahau ni jinsi Bank ya Finca ilivotufanyia somba somba alooo. Nakumbuka mwaka 2010 tumekaa ofisini na mama (ofisi ya kushona nguo maana wazazi wangu wote ni mafundi kushona na kipindi hicho...
  3. T

    Nimeenda benki ya NMB kukopa fedha, naambiwa mkopo wangu umekataliwa kwa vile nina mkopo wa Timiza kampuni ya Simu ya Airtel

    Habari wadau. Jana nilienda kifanya process za mkopo NMB, lakini loan officer akituma taarifa zangu naambiwa loan rejected sina sifa kwa vile nilikopa Timiza Airtel nikachelwa kulipa hivyo kampuni imenishtaki. Hapo huu mkopo wa Timiza nilichukua ila nikalipa kwa riba maana nilizidisha miezi...
  4. M

    Natafuta benki inayotoa mkopo kwa muda wa miaka 10

    Nauliza benki inayotoa mkopo kwa muda wa miaka 10. Nataka wakate makato ya Tsh. 300,000. Kiasi gani ambapo basic yangu ni Tsh. 992,000?
Back
Top Bottom