mikopo mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NYAQ

    Mbona kama Mikopo ya Mtandaoni inaendelea licha ya BOT kukataza?

    BOT walitoa tamko kutoitambua baadhi ya kampuni za mikopo online,nakuelekeza ziache operations zake. Mbona bado zinafanya kazi na msg bado zinatumwa Kwa watu? Hii inamaanisha nini wakuu? PIA SOMA - BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili...
  2. Pdidy

    Nilijua Tanzania tunapigwa na mikopo ya mtandaoni, huko Kenya ni balaa na nusu

    IIe mikopo yetu ya mtandaon na makelele watu wanatumiwa msg za madeni wasiohusika nilijua ziko Tanzania tu Hii michezoo iko hadi Kenya. Benki kuu imelaan tabia inayoendelea na wahusika wanaokopesha mtandaon na kuanza kuwasumbua watu walio kwenye cont za mdaiwa Wamesema makubaliano n anaechukua...
  3. Waufukweni

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yaanika Application 69 zilizofungiwa kwa utoaji mikopo kidijitali bila leseni

    Benki Kuu ya Tanzania inapenda kuufahamisha Umma kuwa imebaini kuwepo kwa Majukwaa na Programu Tumizi 'Applications" zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kidijitali bila ya kuwa na leseni na idhini kutoka Benki Kuu ya Tanzania. Aidha, Majukwaa na Programu hizo zimeshindwa kukidhi matakwa ya...
  4. Waufukweni

    Polisi yakiri changamoto za Mikopo Mtandaoni, TCRA yajiweka kando yasema "haituhusu"

    UCHUNGUZI wa Nipashe umebaini baadhi ya namba za simu zinazotumika kudhalilisha wakopaji hazina utambulisho wa Tanzania, yaani ZIP CODE +255. Katika ufuatiliaji wake, mwandishi alibaini kuwa kwa siku mtu mmoja anaweza kupigiwa simu na watu 10 tofauti wakizungumza jambo tofauti juu ya mkopo...
  5. J

    Je namna gani makampuni ya mikopo mtandaoni hupata namba za watumishi wa umma?

    Naomba kufahamu ni namna gani makampuni ya mikopo mtandaoni hasa yanayotoa mikopo kwa watumishi wa uma yanatambua kua mtu ni mtumishi wa umma? Sababu ukiingia tu kwenye utumishi wa umma unaanza kupokea meseji zakuhamasisha kukopa ingawaje hujawai kuwapa taarifa za mawasiliano na wengine hufika...
  6. Mindyou

    BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili kuwadhalilisha. Yatoa mwongozo mpya!

    Wakuu, Kwa muda mrefu sasa, wakopaji wengi wa mitandaoni wamekuwa wakilalamika kuhusu kitendo cha baadhi ya apps za mikopo ku-access list ya mawasiliano ya wateja na kisha kuwatumia message baadhi ya contacts iwapo mteja ameshindwa kulipa. Soma pia: Serikali ipitie upya Sheria ya 'Mikopo ya...
  7. D

    TCRA Polisi wako wapi watu wanaibiwa kupitia hii mikopo mtandaoni? Jerry Silaa msaidie Rais

    Kuna wimbi kubwa sana la matapeli likitumia majina ya watu maarufu km Mohamed Dewji(MO), Tulia Ackson, Jokate Mwegelo n.k. Hawa watu ni matapeli na wana mtandao mkubwa, unakuta kwenye comments wanashukuru kuwa wamepata mikopo kumbe ulaghai ili uiingie mkenge. Namna ya kukuingiza mkenge...
  8. Kifurukutu

    Tetesi: Inadaiwa Mmiliki wa App za mikopo mtandaoni ni bilionea kijana kutoka Tanzania

    Wakuu Habari niliyoipata kuhusu utitiri wa apps za mikopo mtandaoni kuwa nyingi na zenye riba kausha damu huku zikiwa na kero kubwa kwa mkopaji ndugu na jamaa ni kwamba zinamilikiwa na boss kijana tanzania na africa kwa ujumla fobes wanamjua Bilionea huyu amekuwa mnyonyaji kwa watanzania wa...
  9. realMamy

    Mikopo mtandaoni bado ni Changamoto kubwa ya kuaibisha wakopaji kwa ndugu, Jamaa na marafiki

    Baadhi ya App za Mikopo zinatesa wananchi wanaandika wanakopesha kwa siku 100 lakini baada ya siku nane wanadai wananchi. Riba zao pia ni kubwa sana na ni mzigo kwa mwananchi wa kawaida.Serikali ifuatilie hili kwa kina kama haina maslahi nalo. Wananchi pia wapewe uelewa kuhusu Mikopo hii...
  10. Bani Israel

    Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

    Binafsi sio tapeli ila nikiri kwamba niliamua kuwanyoosha hawa wakopeshaji wa mtandaoni baada ya mmoja wao kunichafua, Nilikuwa mkopaji mzuri wa app fulani jina nalihifadhi nikilipa walikuwa wananiomba nikope tena na tena basi kwangu ikawa kama mazoea kopa lipa Tabu na mateso vilianza pale...
  11. peno hasegawa

    KERO Nakerwa na mikopo ya mitandaoni hasa inayotolewa na Kampuni ya EasyBuy

    Ni nani mmliki wa kampuni ya ukopeshaji mtandaoni ya EasyBuy? Inadhalilisha watanzania. Tunaomba ifutwe na mmliki akamatwe. Ukikopeshwa Tsh. 98,000 riba ni Tsh 42,000. BAAADHI YA MICHANGO KWENYE MJADALA HUU
  12. I

    Kwenye hii mitandao mnakopa wapi

    Nimejaribu app mbili kote sijapata hata elf 5. Nina uhakika wa kulipa kesho kutwa tu kwahiyo hawatanisumbua(maana mtasema hilo)
  13. S

    Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

    Nchi hii kuna mambo ambayo bila kuongelewa na wanasiassa au watu maarufu, mambo hayo huendelea kufanyika hata kama yako kinyume cha sheria na yanaumiza wananchi. Mojawapo na hili la mikopo ya mitandaoni ambalo hata Raisi wa nchi sidhani kama amewahi kuliongelea. Hili kwa sasa ni tatizo kama...
  14. Ghost MVP

    DOKEZO Taarifa Binafsi zinakusanywa na "Kampuni za Mikopo Mtandaoni" ni Hatarishi kwa Faragha ya Mtu

    Siku hizi kumekuwa na Kampuni nyingi za Mikopo Online kama PesaX, Twiga Loan, Mloan, Cash X. Na watu bila kuwa makini mtakuja jikuta mnaingia matatizoni kutoka na taarifa zinazokusanywa na Kampuni hizi. Nimejaribu kadhaa na hakuna ya afadhali, unakuta inakusanya taarifa hizi:- SMS - yan...
Back
Top Bottom