mikopo ya asilimia kumi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Pre GE2025 Vikundi 150 Tunduma vyapokea bilioni 4.6 mikopo ya asilimia 10

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema hatua ya Halmashauri ya Tunduma kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 4.6 kwa vikundi 150, ikiwa ni mikopo ya Halmashauri ya asilimia 10 itokanayo na mapato ya ndani kwa ajili ya vikundi...
  2. WAPEKEE_

    SoC04 Benki ya Vijana na wajasiriamali suluhisho la mitaji na uwekezaji kwa miradi ya vijana

    Hatimaye kila kijana anapenda biashara, kila kijana anafanya ubunifu wa wazo la biashara na bidhaa, sasa ujasiriamali sio dhana ya wale akina mama wanaotengeneza zile sabuni nyeusi nyeusi za vipande bali ujasiriamali wa sasa unachukuliwa kama dhana ya vijana waliothubutu kujiajiri na kupewa cheo...
  3. Del cymon

    Dalili za upigaji na upotoshaji wa makusudi Mikopo ya asilimia kumi ngazi ya kata

    Wakati serikali inajitahidi kupunguza changamoto ya ajira kwa vijana kwa kutoa mikopo nafuu kwa vijana kwa ajili ya kuanzisha na kuendeleza biashara na shughuli mbalimbali za ujasiriamali, jitihada hizo zinazimwa na watendaji wa ngazi za chini hasa katika ngazi ya kata ambapo kumekuwa na...
Back
Top Bottom