Salaam Wana jukwaaa,
Nataraji mko bukheri wa afya, kwa wale wenye afya yenye mushkeli Bai nawombea Kwa MOLA, awafanyie wepesi wapate kupona na kuendelea na majukumu Yao ya hali, ila kama ya haramu hapana. Katika utumishi wa umma inaonekana Kuna ufisadi sana wa Mali za umma ha fedha.
Hivi kwa...