mikopo ya serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Katibu Tawala Mara asema Mikopo ya serikali sio zawadi rejesheni kwa wakati. Tusisahau mikopo waliopewa wasanii nao warejeshe harakaa

    Wakuu Katibu Tawala Mkoa wa Mara, Gerald Kusaya amewataka wananchi wa mkoa huo kutumia mikopo inayotolewa na Serikali kwa manufaa na kuirejesha kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wengine wenye uhitaji. Akizungumza wakati alipokutana na timu ya wataalamu ya elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Zanzibar: Serikali yatoa Tsh 209 milioni kama mikopo ili kuwezesha vijana wa Kizanzibari kujiajiri

    Wakuu, Kama hivi haya ndo maandalizi ya Uchaguzi au nini? ====================================================== Serikali imetoa Sh209 milioni kwa vikundi 18 vya vijana ili kusaidia ujasiriamali na biashara kupitia asilimia 10 ya mapato ya Serikali za mitaa. Vikundi hivyo, vyenye wanachama...
  3. dr namugari

    Nifate utaratibu gani nipate mikopo ya Halmashuri inayotolewa bila riba na Serikali

    Wakuu hiki kitu masiki tu kuwa. Kuna mikopo inatolewa bila riba kwa. Vijana na CAG kweny taarifa yake allisema mikopo hyo ni chechefu Na mimi nataka nipate mkopo huu kama raia wa taifa hili Sifa zangu ni kama zifatazo Ni raia Sina kazi Ni machinga mdogo mdogo Sina ardhi yoyote
  4. Jaji Mfawidhi

    Siri ya mkopo wa Korea kwa Tanzania mpaka 2070

    Mkopo Tanzania uliopata huu wa masharti nafuu una riba ya asilimia 0.01, unalipwa kwa miaka 40, na una fungate (grace period) ya miaka 25. Yaani unaanza kulipa baada ya mwaka wa 26. Tanzania haijagawa chochote kubadilishana na mkopo nafuu kutoka Korea kama wasio-wazalendo wanavyopotosha...
  5. R

    Je, kuna Waziri wa Fedha Tanzania amewahi kukopa fedha nyingi kuliko Mwigulu Nchemba?

    Kwa wataalam wa bajeti na masuala ya uchumi, ni waziri gani wa fedha amewahi kukopa fedha nyingi kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wake kama Mwigulu Nchemba? Kukopa siyo tatizo, je mikopo hii mingi ya Mwigulu inafanya kazi tarajiwa? Tutaweza kuirejesha kwa wakati uliowekwa? Baada ya Mwigulu...
Back
Top Bottom