Salam kwa jina la Lucas Mwashambwa,
Wakuu sasa hivi kama mmechunguza mikutano ya CCM anayofanya Nchimbi akiwa amembatana na Makala hairushwi live. Wanaweka tu vile vipande wanavyotaka kudanganya watanzania au wanavyowananga CHADEMA.
Ukiona wamerusha ka video kama hawamsifii Rais Samia basi...