Jamii, mkasa huu ni wa kusikitisha Sana.
Jana majira ya saa 1 kasoro jioni kitongojini kulitolewa tangazo la bint mwenye umri Mimi nakisia ni Kama miaka 14 kuwa amepotea toka majira ya mchana alienda kutafuta kuni Hadi majira hayo ya jioni hajaonekana.
Ilipofika majira Kama saa 2 usiku huo...