WAKUU habari zenu.
Katika uchunguzi wangu mdogo nilioufanya nimegundua kwamba waafrika wengi bado wanaendelea na nila zao za zamani japo chinichini ili watu fulani wasijue.
Kwa mfano watu wanaenda sana kwa waganga wa kienyeji wakipatwa na tatizo wakimtegemea kupata suluhu ya matatizo yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.