mimba baada ya kujifungua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kimara Kimara

    Nini cha kuzingatiwa pindi mtoto mchanga anapozaliwa

    Habari za Muda Huu waungwana, Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa? Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia. Mambo baadhi ninayohutaji...
  2. MKATA KIU

    KWELI Mama kuwa na miaka kuanzia 35 au baba kuanzia 40 huchangia kupata mtoto mwenye utindio wa ubongo

    "Mama kuwa na umri zaidi ya miaka 35 au Baba kuwa na miaka zaidi ya 40 kunaweza kupelekea kupata mtoto mwenye mtindio wa ubongo, kupata infection wakati wa ujauzito, Mama mjamzito kuumia sababu zipo nyingi ambazo zinapeleka mtoto kuzaliwa na mtindio wa ubongo" Dkt. Alvin Miranda. vijana wenye...
  3. K

    Ni sahihi kumpa mimba mke miezi miwili tu baada ya kujifungua na kupoteza mtoto?

    Mwezi wa pili mke anajifungua na mtoto kufariki, mwezi wa nne mke anapata mimba nyingine. Ni sahihi wadau kiafya na kisaikolojia ya mke? Karibuni wadau kwa elimu.
Back
Top Bottom