mind game

Playing mind games (also power games or head games) is the largely conscious struggle for psychological one-upmanship, often employing passive–aggressive behavior to specifically demoralize or dis-empower the thinking subject, making the aggressor look superior. It also describes the unconscious games played by people engaged in ulterior transactions of which they are not fully aware, and which transactional analysis considers to form a central element of social life all over the world.The first known use of the term "mind game" dates from 1963, and "head game" from 1977.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Simba SC msiwaamini Yanga SC na 'Mind Game' yao kuwa Saido na Ambundo wamefukuzwa Kambini

    Ukweli ni kwamba 'hawajafukuzwa' Kambini tena wapo na ndiyo wanapewa Mazoezi ya maana na 'Maalum' ya Kucheza na Simba SC hiyo Jumamosi tarehe 28 May, 2022 pale CCM Kirumba. Yanga SC hivi sasa wameamua Kujikita zaidi na kufanya Propaganda na kutumia 'Mind Game' kuelekea mechi yao na Simba SC ili...
  2. sky soldier

    Tuweke ushabiki pembeni, ni "Mind game" ipi inahusisha kuwanga na moto ndani ya pitch?

    Wanawanga mchana alafu wanasema tuwaombee, Mi ni simba dam dam ila kwa hili mjirekebishe
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Is HIV/AIDS a mind game disease?

    Mara kadhaa humu humu JF wamekuja watu wanatuambia HIV ni kama mchezo fulani tu wa wazungu kutaka kuitia hofu dunia. Ni kama ilivyokuwa Corona Covid 19 walivyotuchezea akili. Maoni haya yanakuwa magumu kuyaamini kwa sababu tumeshaelimishwa vinginevyo huko awali tena kwa miaka mingi. Bahati...
  4. mugah di matheo

    Hii ni mind game kesho mtu anakufa Kama kasimama

    Yanga ni zaidi ya mbumbu watu walishajua kuwa nyie mnapenda skendo za nje ya uwanja ndio maana Simba wameamua kuwachezea mind game ili Yanga mconcetrate na ya Simba kususia mechi msahau maandalizi
  5. marcoveratti

    Mind game waliyokuja nayo Simba ni ya kitoto

    Uongozi wa Simba SC Pamoja na msemaji wao lopo lopo asie na weledi Haji Manara wamegundua kua tambo zao hua zinawapa morali na kubusti hari ya upambanaji kwa wachejibwa Yanga kwenye Derby. Mara ya mwisho Haji Manara kwenye harakati zake za kuropoka kama ilivyo kawaida yake aliwaita wachezaji wa...
Back
Top Bottom