Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030.
Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
Habari ya uzima,
Katika MAISHA kitu muhimu huwa ni mipango au mpango. Katika philosophy huwa tunasema kuwa "life go to the same direction you gotta go with it"
Maana yake maisha huwa ni yale yale tangia zamani au tangia kuwepo kwa binadamu. Ila nikufata njia sahihi za hayo maisha. Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.