mipango ya maisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kama wewe ni binti ulizaliwa 2000 jitahidi uolewe kabla Rais Samia hajaachia nchi 2030. Utakuwa na miaka 30

    Nawakumbusha tu mabinti zangu,huu ni mwaka 2025 mwaka wa uchaguzi,SSH anaingia tena ikulu kwa miaka mitano mpaka 2030. Huo mwaka 2030 ukifika na hujaolewa nikupe tu pole utakuwa sio binti tena vali mmama wa miaka 30
  2. Mpango au mipango ndiyo kitu muhimu sana katika maisha

    Habari ya uzima, Katika MAISHA kitu muhimu huwa ni mipango au mpango. Katika philosophy huwa tunasema kuwa "life go to the same direction you gotta go with it" Maana yake maisha huwa ni yale yale tangia zamani au tangia kuwepo kwa binadamu. Ila nikufata njia sahihi za hayo maisha. Ila...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…