Kama unataka kulala njaa tegemea pesa ambayo ipo kwenye mfuko wa mtu mwingine.
Usiache jua lizame kwa kuendelea kusubiri hela ambayo umeahidiwa kupitia kauli zifuatazo;
(a) "Usijali leo uhakika nitakutumia baadae"😃
(b) "Nipo somewhere hakuna huduma ya pesa, nikirudi nitakutumia"😃
(c) "Nitumie...