Fakii Lulandala, Katibu Mkuu Uvccm amesema kuwa "CCM ni chama kikubwa chenye watu wengi wenye sifa na uwezo na karama za uongozi, hakina historia ya kuruhusu ung'ang'anizi kwenye nafasi za uongozi kama kule kwa kwa jirani ,nakishukuru sana Chama changu (CCM) kuona kwamba kwa muda huu ninafaa...