miradi maendeleo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pfizer

    NIRC yasaini mikataba ya ununuzi mitambo ya kuchimba visima virefu nchi nzima

    Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imesaini mkataba wa ununuzi wa mitambo ya kuchimba visima virefu na kampuni ya utengenezaji mitambo hiyo ya Uturuki iitwayo Acarkardesler, ambapo mitambo hiyo itagharimu Dola za Kimarekani...
  2. Yoyo Zhou

    Ushirikiano wa kunufaisha kati ya China na Afrika ni endelevu

    Miezi machache baada ya mkutano wa kilele wa Beijing wa baraza la ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC kufanyika mwaka jana, wachambuzi wa masuala ya kiuchumi wamekuwa wakifuatulia maendeleo ya utaratibu wa FOCAC na mchango wake kwenye ushirikiano kati ya China na Afrika, hasa kama...
  3. Dalton elijah

    Miradi Wa Nyangaza Kutoa Ajira 1500

    Mradi wa uchimbaji mkubwa wa dhahabu uliopo Nyanzaga - Sengerema unatarajiwa kuanza kazi za awali za ujenzi wa mgodi ifikapo Januari, 2025. Hayo yamebainishwa leo Oktoba 11 , 2024 na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde, wilayani Sengerema katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata ya...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mwenge wa Uhuru Wazindua Miradi Mingi Busokelo, Rungwe

    MBUNGE ATUPELE MWAKIBETE ASHIRIKI MBIO ZA MWENGE WA UHURU BUSOKELO, MIRADI MINGI YAZINDULIWA Mbunge Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Fredy Mwakibete ameungana na Viongozi mbalimbali kushiriki mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ambao tarehe 29/08/2024 umekimbizwa Halmashauri ya Busokelo, Wilaya ya...
  5. MIXOLOGIST

    Nawahoji nyinyi raia wenzangu; Kwani ni lazima kuita majina ya viongozi miradi iliyojengwa kwa kodi zenu?

    Kwa hasira kuu. Huu uchawa pro-max ukome. Ni kodi zetu, siyo lazima kila mradi upewe jina la viongozi, wengine ni nuksi tu watasumbua generation zijazo, wengine majina yao hayana swagger, ya-kishamba sana, basi tafrani tu. nchi imejaa majina ya kishamba yasiyo na swagger kila kona. TUMECHOKA...
  6. Morning_star

    Mnaomponda Magufuli na kumsifia Rais Samia hamjielewi! Magufuli na Rais Samia ni Magufuli yuleyule?

    Aliyemuweka SSH madarakani nani kama sio Magufuli? Magu aliona mbali akamuweka mtu ambaye ataendeleza legacy yake. Ni mradi hupi aliouanzisha Magu umesimama? Miradi mingi imekamilishwa na mingine bado inaendelea kukamilishwa! Akili kubwa ya Magufuli itaendelea kuendeleza taifa hili vizazi...
  7. OR TAMISEMI

    Mpimbwe-Katavi wanufaika na miradi ya afya na elimu

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema maboresho ya Elimu yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita yamechangia kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa Halmashauri hiyo hususan ni kwa Shule ya Sekondari ya Mizengo Pinda ambayo imeshika...
Back
Top Bottom