ANASA ZIMERUDI?
Bashir Yakub.
Ukumbi wa Mlimani City ukitengwa kwa watu 900 gharama ni Tshs 36,000,000/= bila chakula na vinywaji.
Gharama ya dawati moja zuri ni Tshs 80,000/=. Kwa Tshs. 36,000,000/= tunapata dawati 450,000.
Kwa dawati linalokaliwa na wanafunzi wawili jumla ya wanafunzi...