misaada kwa serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Misaada tunayopewa na wahisani inaingia mifukoni mwa watu? Imetuletea faida gani? Tangu uhuru matrilioni ni mengi. USA imechoka sasa

    Hili sakata linaloendelea la Rais Donald Trump kutishia kufuta misaada iliyokuwa inatolewa kwa Nchi Maskini hasa afrika imezua kasheshe. Hata hivyo wananchi ktk mataifa mbali mbali yaliyoko kwenye orodha inayotishiwa wamekuwa na hisia na mawazo tofauti juu ya kadhia hiyo. Wengine wanasema...
  2. W

    Waafrika Tunatia aibu, mpaka leo tunategemea misaada ya wazungu?

    Ila Africa tunatia huruma, inatia sana haira hadi leo baada ya kupewa misaada mingi miaka nenda rudi bado tunangoja msaada wa ARV na condom 😣😣. Kampeni ya kuelimisha jamii juu ya afya mpaka mzungu alete hela na kuna wapigaji watajilipa posho za laki 2 kila siku, hotel za gharama, magari ya bei...
  3. Mindyou

    Trump kusimamisha misaada duniani ni kosa kubwa la kiufundi. Ni muda wa China na Urusi kuja kutufariji Waafrika

    Kuna maamuzi ambayo bwana Trump anafanya anakuwa kama kachanganyikiwa na haelewi Geopolitics zilivyo. Kwanini nasema hivyo? Hivi karibuni katangaza Marekani kusitisha misaada kwenye nchi zote duniani isipokuwa Israel na Egypt. Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kwamba, the only reason...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Arusha: Paul Makonda atoa pikipiki 20 kwa Jeshi La Polisi ili kuimarisha Ulinzi na Usalama

    Wakuu, Tunaposema kwamba CCM wameanza kampeni kabla ya muda elekezi hii ndio maana yake. ========================================================= Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, leo Januari 24, 2025, amepokea pikipiki 20 zilizotolewa na Leopard Foundation kwa Jeshi la Polisi...
  5. Mkwawe

    Hadi sasa hii ni baadhi ya misaada na mikopo Serikali iliyokopa

    JAMHURI YA MUUNGANO WA KOREA TANZANIA DOLA BILIONI MOJA.. Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani Bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia Mfuko wa Shirika la Maendeleo...
Back
Top Bottom