misaada tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Y

    David Kafulila: Taarifa zinaonesha umasikini wa bara la Afrika ulipaa zaidi wakati ambapo misaada ya wahisani ilikuwa juu zaidi

    == Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila katika ukurasa wake wa X zamani tweeter ameandika haya;- Kati ya mwaka 1970 na mwaka 1998 wakati misaada toka nje ya Africa ilikuwa ya kiwango cha Juu kuliko wakati wowote ajabu ni katika wakati huo huo...
  2. felakuti

    Serikali imejipanga vipi kukabiliana na ukosefu wa misaada iliyozuiwa na Marekani?

    Nchi yetu ya TANZANIA, watanzania, na serikali kupitia wizara ya afya, tumejipanga vipi ama tuna mipango ipi na gepu lililopo ama litarajiwalo kutokea la kukosa ama kutopokea tena misaada kutoka marekani kwa kipindi angalau miaka minne ya uongozi wa Mwamba Donald Trump ? Je Sasa ndio tuseme...
  3. Mindyou

    Trump apunguza wafanyakazi wa USAID kutoka 10,000 hadi 300. Chama cha wafanyakazi serikali chafungua kesi mahakamani

    Wakuu, Kufuatia uamuzi wa Rais Donald Trump wa kuvunja Shirika la Msaada wa Kibinadamu la Marekani (USAID) na kupunguza wafanyakazi, vyama vya wafanyakazi wa serikali nchini Marekani, vimewasilisha kesi mahakamani kuitaka kusitisha mpango wa kufungwa kwa shirika hilo, vikisema Rais Donald Trump...
  4. W

    Waafrika Tunatia aibu, mpaka leo tunategemea misaada ya wazungu?

    Ila Africa tunatia huruma, inatia sana haira hadi leo baada ya kupewa misaada mingi miaka nenda rudi bado tunangoja msaada wa ARV na condom 😣😣. Kampeni ya kuelimisha jamii juu ya afya mpaka mzungu alete hela na kuna wapigaji watajilipa posho za laki 2 kila siku, hotel za gharama, magari ya bei...
  5. Mkwawe

    Hadi sasa hii ni baadhi ya misaada na mikopo Serikali iliyokopa

    JAMHURI YA MUUNGANO WA KOREA TANZANIA DOLA BILIONI MOJA.. Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani Bilioni 1 zitakazotolewa kwa njia ya mkopo nafuu kwa Tanzania kupitia Mfuko wa Shirika la Maendeleo...
  6. Mjanja M1

    Picha: Umegundua nini kwenye hii picha?

Back
Top Bottom