Nchi yetu ya TANZANIA, watanzania, na serikali kupitia wizara ya afya, tumejipanga vipi ama tuna mipango ipi na gepu lililopo ama litarajiwalo kutokea la kukosa ama kutopokea tena misaada kutoka marekani kwa kipindi angalau miaka minne ya uongozi wa Mwamba Donald Trump ?
Je Sasa ndio tuseme...