mishaara watumishi wa umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Mshahara wa Waganga wafawidhi wa Zahanati na vituo vya Afya hauna tofauti na wa Daktari wa kawaida, Serikali itupatie posho ya madaraka

    Posho ya madaraka kwa waganga wafawidhi. Kwa muda mrefu sasa, waganga wafawidhi wa zahanati na vituo vya afya nchini wamekuwa wakitekeleza majukumu mengi mazito ya kiuongozi bila kutambuliwa ipasavyo kwa malipo yao. Mbali na kuhudumia wagonjwa, sisi ndio tunasimamia watumishi, tunaratibu...
  2. Hivi ni Taasisi yetu tu au Taasisi zote za Umma pesa imekua ngumu kwa Wafanyakazi?

    Wakuu, especially waajiriwa wa serikali. Hivi Na nyie ofisini kwenu pakavu kama kwetu au ofisi yetu ndio imekua mfano? Maana kusema kweli 2023 na 2024 hii miaka imekua migumu sana. Posho hazitoki yapo madeni tu tokea ya September 2023, safari imekua kitu hadimu, vikao vya hela hamna wala kazi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…