mishahara ya wabunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamichakato

    Wabunge wanafanya nini kwa taifa kustahili mabilioni wanayopata?

    Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini. Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu. Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!

    Wakuu, Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
  3. Carlos The Jackal

    Serikali ianze kupunguza Mishahara ya viongozi wao, Wabunge, Baada ya USAID , Ulaya inafuata njia hiyohiyo

    Wazalendo wa Nchi hii Akina Job Ndugai waliwah kuuliza kwanini Tusijitegemee? Sasa Nchi hii Ina Kila kitu, hizo PhD za Uchumi, msizihamishie kulinda Matumbo yenu tu huku mzigo wote mkiuleta Kwa Wananchi. Mkatae ukweli, mrukeruke sana, mfumbe macho, ukweli ni kuà Hamna Nchi zaidi ya ( US)...
Back
Top Bottom