Misinformation is incorrect or misleading information. It differs from disinformation, which is deliberately deceptive and propagated information. Early definitions of misinformation focused on statements that were patently false, incorrect, or not factual. Therefore, a narrow definition of misinformation refers to the information’s quality, whether inaccurate, incomplete, or false. However, recent studies define misinformation per deception rather than informational accuracy because misinformation can include falsehoods, selective truths, and half-truths.Research on how to correct misinformation have focused on fact-checking. However, one can fact-check news, but not beliefs, and studies show that fact-checking can backfire. Others studied what makes people susceptible to misinformation. People may be more prone to believe misinformation because they are emotionally connected to what they are listening to or are reading. The role of social media has made information readily available to society at anytime, and it connects vast groups of people along with their information at one time. Advances in technology has impacted the way people communicate information and the way misinformation is spread. Misinformation has impacts on societies' ability to receive information which then influences our communities, politics, and medical field.
Ni muhimu kutambua mbinu zitakazokuwezesha kubaini maudhui ya picha, video ama sauti, yaliyotengenezwa kwa kutumia teknolojia ya AkiliMnemba kwani yanaweza kutumiwa kupotosha uhalisia wa Taarifa nyakati za uchaguzi hivyo kusababisha wananchi kushindwa kufanya maamuzi sahihi.
Shikamana na Jukwaa...
Upotoshaji hufanyika kwa njia nyingi ikiwemo kusambazwa kwa jumbe zinazodaiwa kuwa ni zawadi zinazotolewa na Mashirika ya kimataifa kama vile UNICEF na mengine.
Ukutanapo na taarifa za aina hii hakikisha unathibitisha kuona kama ni kweli imetolewa na chanzo husika ili kufanya maamuzi yaliyo...
Kumekuwapo na Links (Viungo) vinavyotumwa katika makundi sogozi na mitandao mingine ya kijamii ikiwataka watu kubofya link hiyo ili wapate zawadi ya Mb ama pesa.
Links hizo mara nyingi zimekuwa si salama zikiwa na lengo la kuwalaghai wananchi na kuchukua taarifa zao binafsi na wakati mwingine...
Elections are fundamental to democracy, but the digital age has introduced challenges such as misinformation, disinformation, and hate speech. To address these issues, JamiiForums, in collaboration with the Collaboration on International ICT Policy for East and Southern Africa (CIPESA) through...
Tumeshuhudia siku za karibu waziri Dorothy Gwajima akitoa tamko juu ya maudhui ya mwanadada anayeishi na nyoka. Huu ni mwanzo tu, mengi yanakuja kupitia programu za akili bandia. Program hizi zina uwezo wa kutengeneza fake picha, fake video and fake sauti ili mradi kuleta utata na upotoshaji...
akili
akili bandia
artificial intelligence
bandia
fake
fake news
habari
intelligence
katika
kutengeneza
misinformation
mkubwa
news
program
programu
tanzania
tasnia
tasnia ya habari
uwezo
watanzania
Tusipo jiandaa mapema, Watanzania wanaweza wakatumbukia kwenye dimbwi kubwa la migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na kusababisha kuongezeka kwa kasi kwa matukio yenye uhusiano na magonjwa ya akili. Hii ni kutokana na madhara yatakayosababishwa na program za Akili Bandia zenye uwezo wa kutengeneza...
Akili Mnemba ni teknolojia iliyosambaa ulimwenguni ikiwa imerahisisha kazi za binadamu kutokana na kwamba inaweza kufikiri kama binadamu. Lengo la AI ni kuweza kufanya mambo kama vile kutambua mifumo, kufanya maamuzi, na kuhukumu kama binadamu.
Akili mnemba (AI) ni seti ya teknolojia...
Vichwa vya habari vinaweza kuwa sehemu muhimu katika kusambaza habari potofu kwa sababu vinaweza kuvutia umakini wa wasomaji, kuchochea hisia, na hata kutoa taswira isiyo sahihi ya habari kamili.
Katika dunia ya sasa ambayo teknolojia ya habari imekua kwa kiasi kikubwa, baadhi ya watu wanaweza...
Deepfake ni aina ya ubunifu wa kidigitali unaotumia teknolojia ya Akili Bandia (AI) kubadilisha au kuunda picha, sauti na video ambazo huonekana kama ni za kweli, lakini zimeundwa kwa njia bandia. Jina "deepfake" linatokana na maneno mawili: "Deep learning" (kujifunza kwa kina), ambayo ni aina...
Taarifa potofu ni habari ambayo si sahihi. Taarifa potofu inaweza kuwa na athari hasi au kuwachanganya watu kutokana na ukosefu wa usahihi au udanganyifu.
Athari za taarifa potofu yanaweza kuwa makubwa au vinginevyo kulingana na unyeti wa taarifa iliyosambazwa ikiwa haina usahihi. Kadiri...
Baada ya kukutana na taarifa yoyote unayoitilia shaka, kuna hatua kadhaa unaweza kuchukua ili kujiridhisha uhalali wa taarifa hiyo. Kuchukua hatua za haraka na kutoa habari sahihi ni muhimu ili kuzuia kuenea kwa habari feki au gushi.
Hizi ni baadhi ya hatua za kuchukua unapokutana na taarifa au...
Usambazaji wa taarifa potofu umekuwepo kwa muda mrefu katika historia ya binadamu. Hata kabla ya teknolojia ya kisasa na mitandao ya kijamii, watu wamekuwa wakisambaza taarifa za uongo au potofu kwa njia tofauti, kama vile kupitia vyombo vya habari, mdomo, au vyanzo vingine vya habari.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.