Habari! natumaini ni wazima wa afya.
Kumekuwa na vitendo vinavyo leta maswali katika jamii ya watu walioelimika ukiachana na hawa wafata mkumbo ambao ndio wengi katika Taifa hili.
Je, polisi wanatekeleza majukumu yao katika misingi ya kimaadili?
Nimefuatilia kwa uchache tukio la ukamataji wa...