In military language, a missile, also known as a guided missile, is a guided self-propelled flying weapon usually propelled by a jet engine or rocket motor. This is in contrast to an unguided self-propelled flying munition, referred to as a rocket (although these too can also be guided). Missiles have four system components: targeting or missile guidance, flight system, engine, and warhead. Missiles come in types adapted for different purposes: surface-to-surface and air-to-surface missiles (ballistic, cruise, anti-ship, anti-tank, etc.), surface-to-air missiles (and anti-ballistic), air-to-air missiles, and anti-satellite weapons. Non-self-propelled airborne explosive devices are generally referred to as shells and usually have a shorter range than missiles. In ordinary language the word means an object which can be thrown, shot, or propelled toward a target.
Majeshi ya Ukraine yanashindwa yaamueje kushughulika na kamikazer drones za Urusi. Ni drones za gharama chee (dola 20,000 za marekani kwa kila moja). Ina uwezo wa kuangamiza vifaru, magari ya kivita, na vifaa vingine vya kijeshi, kubomoa majumba makubwa nk. Ukkraine wanaweza kuzidungua lakini...
Tofauti na wengine wanavyofikiri, ni vigumu sana kwa kombora la Hypersonic (Kinzhal) kuharibu kabisa mfumo wa ulinzi wa anga kama Patriot Air Defense System.
Mfumo huu wa ulinzi wa anga kwa namna ilivyotengenezwa kufanya kazi haikai sehemu moja bali ina mifumo kadhaa ambazo huwekwa maeneo...
Hello lads and ladies.
Legends!
Tupitie flashbacks zetu tukiwa campus notes zina majina yake, vikaratasi vya kuibia majibu kwenye Tests na UE na majina yake.
Wakali wa vizenga, dessa, simbi kwenye soksi , chooni, network collabo za chooni, signal kama zote. Wale ambao hawakuwahi kutumia desa...
Rais Putin wa Urusi ameuponda mfumo wa ulinzi wa anga wa marekani ambao utapelekwa ukraine. Amesema ni mfumo wa kizamani na mwarobaini wake upo. Asema hauwezi hata kuufikia mfumo wa S300 wa Urusi, achilia mbali baba lao S400. Na ujue Urusi ana pia S500 ambayo hiyo haiuzi ni kwa ajili ya matumizi...
Zaidi ya nusu karne baadaye, inahisi kama ulimwengu umesahau masomo ya wakati huo wa ajabu katika historia
'
Mnamo 1961, Amerika ilituma makombora ya masafa ya kati ya Jupiter huko Türkiye, silaha ambazo zingeweza haraka - na kwa urahisi - kufikia miji ya magharibi mwa USSR, pamoja na mji mkuu...
From Quora
All behind this , it is the intentions of USA to invade/divide Turkey in next decade…
Of course Turkey would the next nation after all weak ones had been invaded!!
General Wesley Clark Wars Were Planned Seven Countries In Five Years
Turkey is been in the market for air...
The US plans to announce as soon as this week that it has purchased an advanced, medium-to-long-range surface-to-air missile defense system for Ukraine, a source familiar with the announcement tells CNN.
President Joe Biden, who is currently meeting with G7 leaders in Germany for a summit...
Estonia imelalamika kuwa Urusi inapanga kuishambulia nchi hiyo (Estonia-nchi mwanachama wa NATO) kwa mvua za makombora. Malalamiko yamegusia kuwa Urusi iko inafanya missile simulations juu ya namna ya kuichapa makombora Estonia.
Estonia imekuwa na mdomomdomo mrefu ktk kipindi hiki cha...
Naomba kujilishwa tofauti kati ya Rocket Propelled Granade (RPG) na Anti-tank Missile katika uwanja wa vita.
Kwa maana katika mwonekano wake ni kama vinnafanana na vinaweza kufanya kazi sawa.
Pia tofauti kati ya mizinga na kombora/missile.
The conflict between Ukraine and Russia has taken a new turn when Russia promised to introduce a new lethal weapon onto the battlefield in response to the threat. The TS-28 Sarmat (Russian: PC-28 CapmaT), which is named after the Sarmatians, could be the next weapon that Russia employs against...
Picha ya Hwasong-8, kombora la hypersonic liliorushwa na North Korea
North Korea imesema kuwa imefanikiwa kufanya jaribio la hypersonic missile, kombora linalosafiri maradufu kuliko sauti. Wataalamu wa mambo ya silaha wanasema kuwa kombora hilo ni miongoni mwa makombora yanayotembea kwa spidi...
Yemeni forces have fired a domestically-designed ballistic missile at a position of Saudi militants loyal to the resigned Yemeni president in the country’s central province of Ma’rib.
Military sources, speaking on condition of anonymity, told Yemen News Portal website that massive explosions...
Habari!
Pantsir-SM, mfumo wa ulinzi wa anga (short-medium range mobile air defense system) unaosubiriwa kwa hamu, unatarajiwa kuzinduliwa panapo Juni 24 katika gwaride la kijeshi jijini Moscow katika sikukuu maalumu inayofahamika kama Siku ya Ushindi ama Victory Day nchini Urusi.
Mfumo huu wa...
Kikosi cha Jeshi cha Anga za Juu cha Marekani ambacho ni tawi jipya la Jeshi la Marekani kimefanya jaribio la kombora la balistiki la Minuteman III.
Kikosi hiki cha masuala ya kijeshi katika anga za juu kiko chini ya Jeshi la Anga la Marekani na kilianzishwa mnamo Desemba 20 mwaka jana, 2019...
Shirika la habari la serikali ya Syria, SANA, limeripoti mapema Alhamisi kuwa Israel imeshambulia maeneo kadhaa karibu na mji mkuu Damascus huku shirika hilo likidai kuwa mifumo ya ulinzi wa makombora ya nchi hiyo iliangusha idadi kadhaa ya makombora.
Taarifa kutoka SANA ilieleza kuwa...
Takribani wanajeshi 75 wameuawa kwenye shambulizi la kombora lililorushwa na wanamgambo wa Houthi kwenye msikiti katika jimbo la Marib nchini Yemen.
Vyanzo vimeliambia shirika la habari la AFP kwamba wanamgambo hao waliushambulia msikiti uliopo kwenye kambi ya kijeshi, takriban kilomita 170...
Mifumo ya Ulinzi wa Anga (Missile Defense Systems)
Patriot "MIM-104" SAM System (USA)
===
S-300 Missile System (Russia)
===
THAAD "Terminal High Altitude Area Defense" (USA)
===
S-400 Missile System (Russia)
===
Iron Dome (Israel)
===
Arrow 3 (Israel)
===
To Be Continued!
Iran imesema kuwa imemkamata mtu aliyerekodi kipande cha video kinachoonesha tukio la kutunguliwa kwa ndege ya abiria ya Ukraine.
Inaaminika, mtu anayeshikiliwa atakabiliwa na mashtaka yanayohusiana na usalama wa taifa.
Ndege ya Ukraine PS752 iliangushwa muda mchache baada ya kupaa kutoka...
Iran imetangaza kuwa jeshi lake "bila kukusudia" liliitungua ndege ya Ukraine, iliyoanguka na kuua watu wote waliokuwemo ndani yake huku wengi wao wakiwa ni raia wa nchini Iran.
Taarifa hiyo mnamo Jumamosi asubuhi inalaumu "kosa la kibinadamu" lililofanyika katika tukio hilo.
Ndege ya Ukraine...
Eight pro-Iran militia have been killed by an airstrike on the border between Iraq and Syria according to reports.
Eight pro-Iran militia have been killed by an airstrike on the border between Iraq and Syria according to reports.
The eight victims were allegedly apart of the Hashed al-Shaabi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.