Hamjamboni!
Kuna Misukule ya aina nyingi.
1. Kuna Misukule ya Imani
Hii ni Misukule ambayo waumini hutafuta pesa kwa Hali na Mali. Kwa jasho na damu na kwenda kupeleka Mali hizo kwa Mitume na Manabii WA mchongo. Wengine hupeleka kwa Waganga.
Ukitaka ujue mtu ni Msukule utampima kwenye Mzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.