mita 100

The Toei Mita Line (都営地下鉄三田線, Toei Chikatetsu Mita-sen) is a subway line of the Tokyo Metropolitan Bureau of Transportation (Toei) network in Tokyo, Japan. The line runs between Nishi-Takashimadaira in Itabashi and Meguro in Shinagawa. Trains continue with direct service into the Meguro Line of Tokyu Corporation for Hiyoshi. The portion between Shirokane-Takanawa and Meguro is shared with the Tokyo Metro Namboku Line.
The line was named after the Mita district in Minato, Tokyo, under which it passes. On maps and signboards, the line is shown in blue (O). Stations carry the letter "I" followed by a two-digit number.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Sababu ya Noah Lyles kushinda mbio za Mita 100 Olympics

    Mashindano ya Riadha za Mita 100 kwa upande wa Wanaume katika Michezo ya Olimpiki yameibua mjadala baada ya Noah Lyles kutangazwa Mshindi licha ya Wakimbiaji wengine kuonekana wamevuka Mstari Wachunguzi wa Kisayansi katika Michezo wamedai mguu wa Thompsor ulikuwa umevuka mstari kabla ya Noah...
  2. Nkaburu

    Video: Aweka Rekodi mpya ya Riadha, Afisa asimamishwa kazi

    Somalia imemsimamisha kazi afisa wa ngazi ya juu wa riadha baada ya mmoja wa wanariadha wake kuweka rekodi mpya ya mbio za mita 100 - ambayo ni ya polepole zaidi kuwahi kutokea katika mashindano ya kimataifa. Mwanariadha huyo Nasra Ali Abukar, alikimbia na alivuka mstari wa kumaliza kwa sekunde...
  3. blogger

    Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

    Tuache ushamba aisee. Puliza pafyumu au body spray inayokufaa wewe wewe peke yako within your own perimeters aisee. Inakera sana. Uzi tayari.
  4. Tony254

    Ferdinand Omanyala: Mtu wa Kwanza Afrika Mashariki na Kati kukimbia mbio za mita 100 chini ya sekunde 10

    Huyu kijana wa miraba minne aiseeh anatingisha dunia sasa hivi. Baada ya kuwa Mkenya wa kwanza kufika semi-finals za 100 metres huko Tokyo olympics, sasa amekimbia mita mia moja chini ya sekunde kumi. Awa mtu wa kwanza Africa Mashariki na kati kufanya hivyo. Hata Afrika Kaskazini ya Waarabu...
Back
Top Bottom