The Toei Mita Line (都営地下鉄三田線, Toei Chikatetsu Mita-sen) is a subway line of the Tokyo Metropolitan Bureau of Transportation (Toei) network in Tokyo, Japan. The line runs between Nishi-Takashimadaira in Itabashi and Meguro in Shinagawa. Trains continue with direct service into the Meguro Line of Tokyu Corporation for Hiyoshi. The portion between Shirokane-Takanawa and Meguro is shared with the Tokyo Metro Namboku Line.
The line was named after the Mita district in Minato, Tokyo, under which it passes. On maps and signboards, the line is shown in blue (O). Stations carry the letter "I" followed by a two-digit number.
Mashindano ya Riadha za Mita 100 kwa upande wa Wanaume katika Michezo ya Olimpiki yameibua mjadala baada ya Noah Lyles kutangazwa Mshindi licha ya Wakimbiaji wengine kuonekana wamevuka Mstari
Wachunguzi wa Kisayansi katika Michezo wamedai mguu wa Thompsor ulikuwa umevuka mstari kabla ya Noah...
Somalia imemsimamisha kazi afisa wa ngazi ya juu wa riadha baada ya mmoja wa wanariadha wake kuweka rekodi mpya ya mbio za mita 100 - ambayo ni ya polepole zaidi kuwahi kutokea katika mashindano ya kimataifa.
Mwanariadha huyo Nasra Ali Abukar, alikimbia na alivuka mstari wa kumaliza kwa sekunde...
Huyu kijana wa miraba minne aiseeh anatingisha dunia sasa hivi. Baada ya kuwa Mkenya wa kwanza kufika semi-finals za 100 metres huko Tokyo olympics, sasa amekimbia mita mia moja chini ya sekunde kumi. Awa mtu wa kwanza Africa Mashariki na kati kufanya hivyo.
Hata Afrika Kaskazini ya Waarabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.