Tufahamishwe hizi mita zinazoibwa hutumika kwa ajili nini tena?
Kama mamlaka husika hawawezi kuzilinda kwa matumizi mengine kwa nini zifungwe nje?
Mamlaka za maji wanawajibu wa kutafakari na kuzima kabisa matukio ya wizi wa mita za maji.
Wananchi hawawezi kuwa walinzi wa mali zenu. Wenzenu...
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA inatarajia kusambaza mita za maji za malipo ya kabla (mita za prepaid)baada mafanikio ya kufunga mita za majaribio Kwa wananchi ambazo zimeanza kuonesha mafanikio makubwa.
Akiongea wakati wa ziara ya ukaguzi wa majaribio ya mita hizo...
Mfanyabiashara na mkazi wa Kinondoni, Daud George (28) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuiba mita za maji na kuisababishia hasara ya Sh904,277. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa).
George amefikishwa...
Huku kwetu katika mitaa ya Manispaa ya Songea kuna wimbi la wizi wa Mita za Maji na kila aliyeibiwa anatakiwa kulipia Sh elfu 45 ili aweze kufungiwa mita nyingine.
Tunajiuliza huu ni mchezo ambao tunachezewa na baadhi ya watu wasiowaaminifu kutoka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...
Mimi ni Mkazi wa Arusha - Moshono, Mtaa wa Nanja, huku kwetu kuna tabia ya wizi wa Mita za Maji kiasi kwamba inakuwa changamoto kupata huduma za maji kwa sababu huwezi kujichukulia Mita mtaani ukaweka, lazima iwe imetoka kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).
Tukienda...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) kuja na mkakati wa kudhibiti wizi wa Mita za Maji baada ya kueleza kuwa kumekuwa na matukio mengi ya wizi wa Mita hizo.
Amesema wezi wa Mita wapo Mtaani hawatakiwi kuchekewa, amesema...
Habari za leo,
Ninatokea Mbezi mtaa wa Luis kitongoji cha Upendo.
Hivi karibuni kumeibuka wizi wa mita za maji hapa mtaani kwetu bila kujua wanaoiba wanazipeleka wapi, Dawasa tumewapa taarifa lakini hawana majibu.
Sasa cha kushangaza hizi mita zina namba zake ambazo ni za usajili. Je, hawa...
Zimepita siku mbili sasa sina huduma ya maji, hii ni baada ya kuibiwa mita ya maji na wezi usiku. Walifika wakafungua mita ya maji kisha wakaondoka nayo, tumekuja shituka asubuhi tunakuta maji yanamwagika kwa wingi sana kucheki mita imeng'olewa.
Sijui hizi mita zinapelekwa wapi na istoshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.