Ni kichaa tu atakataa! ccm imechukuwa nchi kutoka kwa mkoloni, vitu vyote kuanzia miundombinu, maflyover,mifumo ya umeme, mashule mahospitali, zahanati na madawa, mabohari, mibarabara nchi nzima, mifumo ya kodi na miundombinu ya maji, reli na masoko ya kisasa bila kusahau viwanja vya ndege na...