Habari wakuu,
Hapa bongo tuna manabii na mitume wa kutosha tena ni wengi kuliko hata wale wa israel wa kule kwa Netanyau kama vile Matayo, samwel, petro, yuda, timo na warumi.
Hapa tunao manabii machachari akina Mwamposa, Malisa, Kapora, Mzee wa upako, Titto na wengineo wengi.
Hawa wateule...