miundombinu barabara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kadeti

    Barabara za Kahama mjini haziendani na Kasi ya ukuaji wa mji

    Nimetembelea kahama Leo takribani siku ya Tano mfululizo mita Kwa mitaa naona jinsi biashara zilivyoshamiri, Kahama Kuna pool kubwa Sana ya walipa Kodi kiasi kwamba naona TRA kana kwamba hawawezi kuwafikia wote. Kwa ujumla mji wa Kahama umechangamka Sana kibiashara kila angle zote za mji, Kati...
  2. H

    Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbrle mwenyewe

    Ukweli ni kwamba mwanamke unae-date naye kuna uwezekano mkubwa kajiweka tu kwako kwa sababu anahitaji pesa. Ni masikini, hana kazi(kama anayo kipato chake akitoshelezi lifestyle anayoitamani) na kwa sasa wewe ndie jibu la tatizo lake Atakapojipata ndio utajua ujui. Atakulaumu, atahoji hayo...
  3. A

    KERO Hali ya Barabara Kwa Fundi Baiskeli (Kigamboni) ni mbaya, mkandarasi kaingia mitini, mwezi wa 6 sasa

    Hali ya Barabara Kwa Fundi Baiskeli (Kigamboni) ni mbaya, huu ni mwezi wa 6 tangu Bango la Mkandarasi liwekwe na hakuna kinachoendelea JF tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwa Serikali ya Kigamboni kuhusu changamoto ya barabara, kwa kweli ni mbovu sana hasa maeneo ya Kwa Fundi Baiskeli. Tangu...
  4. Mkalukungone mwamba

    Hatimaye! Kipande cha barabara kutoka Boko bulumawe hadi boko magengeni cha tengenezwa

    Wakazi wa maeneo ya Bulumawe mtaa wa wa Dovya kata ya Bunju manispaa ya Kinondoni tulikuwa tunapata shida sana hususani kipindi cha mvua kutoka na ubovu wa barabara. Lakini sasa kipande cha barabara kutoka Bulumawe hadi Boko magengeni kimechatengenezwa kwa kiwango cha lami naweza sema lami ya...
Back
Top Bottom