Wasafiri mnaopitia barabara hii hakika wanaona adha kubwa na taabu na uharibifu mkubwa wa barabara hii. Barabara hii ilijengwa na kuisha mwaka 1980 na Kampuni ya Lanari ya Italia na tangu wakati huo hakuna marekebisho aina yoyote yaliyofanyika..
Kwa mwendo wa kawaida kutoka Nyanguge mpaka...