miungu watu ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Ally Hapi aonya viongozi Miungu watu akiwataka kuacha kuwaonea wananchi na kupora mali zao

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ndugu Ally Hapi, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali za vijiji wanaotokana na CCM, akiwataka kuacha tabia ya kujiona miungu watu kwa kuwaonea wananchi na kupora mali zao. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
Back
Top Bottom