KANUNI ZA KUOMBA MIUNGU NA KUJIBIWA
Anaandika, Robert Heriel,
Kuhani Katika Hekalu Jeusi,
Mtibeli.
Watu wengi wanauliza swali hili. Wengine wananipigia simu wakitaka kujua wafanyaje ili maombi Yao kwa Mungu yajibiwe.
Mimi kama Taikon Master, Kuhani Katika Hekalu Jeusi. Niliye na uzoefu...