Gharama za Intaneti zimekuwa zikikwamisha na kuathiri shughuli za Watumiaji wa Mitandao, Wabunifu wa Teknolojia na Wazalishaji wa Maudhui
Je, unaridhishwa na mikakati ya Serikali katika udhibiti wa Bei za Intaneti? Unaathirika vipi na Gharama za Intaneti nchini?
Ungana nasi katika Mjadala...
digital rights
digital space
digital transformation
digitalization
haki ya kupata taarifa
haki ya kutoa maoni
haki za kidigitali
jamiiforums
mjadalasektadigitali