mjane

Gunnar Mjånes (17 April 1921 – 2 November 2002) was a Norwegian politician.
He was elected deputy representative to the Storting for the periods 1965–1969 and 1969–1973 for the Christian Democratic Party. He replaced Bergfrid Fjose at the Storting from October 1972 to September 1973.

View More On Wikipedia.org
  1. Kesi ya Mgogoro wa ardhi baina ya kanisa la Christ Synagogue Ministries na mjane yaunguruma Arusha

    Kesi ya Mgogoro wa Ardhi baina ya Kanisa la Christ Synagogue Ministries lililopo Sakina jijini Arusha na wasimamizi wa mirathi Bernadette Changuru na Samweli Changuru imeahirishwa hadi Agosti 11 mwaka huu. Shauri hilo namba 57/2021 linasikikizwa na Baraza la Ardhi na Nyumba la wilaya ya...
  2. D

    Kuna mjane ateseka, naomba ushauri wa namna ya kumsaidia

    Kuna mama mmoja anaitwa Aisha aliolewa na Mtanzania mwenye asili ya Kioman mwaka 1979 huyu Aisha aliwakuta watoto 4 kwa huyu mumewewakiwa na umri miaka 6 wengine miaka 5 yaani bado wadogo waliozaliwa kwa wanawake wengine walioachwa. Huyu Aisha alipoolewa aliwalea watoto hao kama watoto wake na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…