Wakuu salam za hap jukwaani.
Leo kuna kitu nilikuwa nafikiria sana.kama hapo title inavyosema.hivi kweli mwanadamu anatokana na nyani yani kwaakili ya kawaida tu unaweza kujiambia mwenyewe mm nimetokana na nyani hv kweli kabsa? Yani na wizara kabisa inapitisha hzo ni mada mwanafunzi anatakiwa...