MOROGORO IMEKOSA NINI?
Swali la dhati kabisa kujiuliza?
Magwiji wengi kwenye fani za siasa,michezo na muziki
MORO JAZZ BAND MBARAKA MWISHEHE aliiweka kwenye ramani Morogoro
Achana na BIFU la AFANDE SELE na PHILIP NYANDINDI A.K.A OTEN bifu la kugombea Ukubwa au ujogoo wa mji wa MJI KASORO...