Mjini Magharibi Region, Zanzibar Urban West Region or West Zanzibar Region (Mkoa wa Mjini Magharibi in Swahili) is one of the 31 regions of Tanzania. The region covers an area of 230 km2 (89 sq mi). The region is located entirely on the island of Zanzibar and bordered to the west by the Indian Ocean, north by Unguja North Region and the east by Unguja South Region. The region is home to one of the seven World Heritage Sites located in Tanzania, namely; Stonetown of Zanzibar. The regional capital is Zanzibar City. The region is the most developed region with the highest human development index in Tanzania at 0.718. According to the 2012 census, the region has a total population of 593,678.
Wakuu
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustapha, amefanya ziara na kukagua maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Mjini kwa kutumia helikopta. Na si hivyo tu, akaenda mbali zaidi kuangalia mipaka ya mkoa huo, pamoja na mikoa mingine ya Kusini na Kaskazini ya Unguja.
Hii inamaanisha...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Zanzibar, Mhandisi Hamad Masauni, amemtaka Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi komesha kero ya wizi katika Shehia ya Kikwajuni Bondeni. Mhandisi Masauni ameyasema hayo mapema jana, Oktoba 28, 2024, wakati akihitimisha ziara yake ya...
Mkoa wa Mjini Magharibi ni moja kati ya mikoa 31 ya Tanzania na unapatikana ndani ya Kisiwa cha Unguja. Mkoa huu una wilaya tatu ambazo ni Mjini, Unguja Magharibi A na Unguja Magharibi B.
Mkoa huu una wakazi takriban 893,169 kulingana na sensa ya mwaka 2022. Jimbo la Pangawe linaongoza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.