Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ,.
Kazii iendelee,?
Turudi kwenye topic yetu,...
Uzao wa abraham wa kwanza aliambiwa na Mungu apate mtoto basi wakajaribu na sara ikashindikana . Mpaka sara akaamua, kumleta kijakazi wake awazalie mtoto, ila baada ya uzao yule mtoto...