mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sir robby

    Posho na Mishahara ya Wabunge 19 waliofukuzwa uanachama nao ni wizi ambao CAG ulipaswa kuuzungumzia

    Wadau hamjambo? Nadhani kupokea posho au mishahara ukiwa huna sifa za kazi yako ni wizi. Ndio maana watumishi wa vyeti fake yaliwakumba na kufukuzwa kazi na ripoti ya CAG ilionesha kiasi gani cha fedha za umma zilipotea na kuokolewa baada ya kuwafukuza. Nimeshangazwa na Ripoti ya CAG...
  2. HIMARS

    Ufisadi ujao? CAG aongezewe nguvu ya kuzuia matobo

    Jana bungeni Mbunge wa Kisesa Ndg Mpina alisema, serikali imetumia pesa nyingi nje ya bajeti akaongelea malipo ya Symbion zaidi ya Dollar 350,000 Mwigulu akamjibu kuwa serikali ilitumia 86,000,000,000/ kutoa mikopo kwa wanafunzi 29,000 ambao hawakuwa na mikopo ya chuo kikuu. Serikali ilitoa...
  3. Chachu Ombara

    Zitto Kabwe: Mahakama imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba alipomuondoa Prof. Mussa Assad kama CAG

    Ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Twitter Nimefarijika kuwa leo tarehe 05/12/2022 Mahakama Kuu katika shauri la Zitto Zuberi Kabwe vs. Mwanasheria Mkuu na wenzie na 8/2020 mbele ya jopo la majaji 3 Masoud, Masabo na Kakolaki imetoa uamuzi kuwa Rais John Magufuli alivunja Katiba...
Back
Top Bottom