Wakuu nataka niwekeze humu kwene piki piki.
Nahitaj kumiliki vyombo vya moto kwa kuanza na pikipiki moja.
Nataka nipate mkataba ambao utaniwea rahisi na unaombana mwendeshaji kuweka nidham ya chombo changu pia kumfanya asilete masihara!
Karibuni wamiliki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.