mkesha wa mwamposa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Chalamila kutumia askari (mlinzi wake) kwa suala binafsi la Mkesha wa Mwamposa baada ya muda wa kazi ni unyanyasaji kwa askari huyo, akemewe!

    Wakuu, Najua mtakuja na motoo kuwashukia askari kuhusu utekaji na mazonge yao mengine, hayo tuyaweke pembeni, hayahusiki kwenye muktadha huu. Hata kama kati yao wapo washenzi (ashakum) naamini wengi tunaweza kutestify kuwa wapo waliobora waliotuhudumia na kutusave pakubwa tulipopata majanga...
  2. GENTAMYCINE

    Naomba mrejesho Wangapi walipona na wamefanikiwa baada ya Mkesha wa Ijumaa iliyopita Afrika Mashariki?

    Halafu mwambieni wazoefu hapa Mjengoni tumeshamjua na kumbe 24/7 kuanzia Saa 5 usiku huwa tunakuwa nae.
  3. Teko Modise

    Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

    Huo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe! Ujinga, maradhi na umasikini is real.
  4. Replica

    Nimepita hapa Kawe kwa Mwamposa, mbona wahudhuriaji karibu wote wanawake?

    Leo Kawe watu wanamwagika, nimeambiwa wamekuja kwenye maombezi ya Mwamposa na kukanyaga mafuta na watu leo watapona na kesi zote kwenye maisha yao zitakwisha. Kilichonishangaza ni kipengele cha jinsia ya wahudhuriaji, karibu wote ni wanawake. Yaani kwa takwimu uchwara katika kila watu 20 labda...
  5. N

    Tahadhari ichukuliwe Mkesha wa Mwamposa la sivyo ya Moshi yatajirudia

    Nimeona mabango na taarifa mbalimbali kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii na pia nimepita maeneo ya Kawe Tanganyika Packers na viunga vyake naona watu wameanza kumiminika ikiwa ni maandalizi kuelekea mkubwa mkesha mkubwa uliopewa jina la " 'MKESHA USIO SAHAULIKA' CHAKO NI CHAKO"...
  6. J

    Dar: Unaambiwa karibu guest zote zimejaa ujio wa Mkesha wa Mwamposa

    Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO. Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine. Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es Salaam. #Ngoja tuone hiyo kesho.
  7. S

    KAWE: Huenda huu mkesha wa ijumaa kwa Mwamposa ukawa ndio mkesha mkubwa zaidi kuwahi kufanyika Tanzania

    Nipo hapa Kawe Watu ni wengi sana hasa toka Mataifa ya mbali, Roho inaniuma kuona Watanzania wanabeza hii madhabahu wakati wengine toka Mataifa ya mbali wameshaweka kambi hapa.
Back
Top Bottom