Leo nitajibu swali lolote kuhusu mkoa wa Kagera, kama vile kuhusu:
Uchumi
Wakazi na Makazi
Historia
Makabila
Fursa za Uchumi
Hali ya hewa
Mahusiano n.k
Nitajibu kila swali leo
Mkoa wa Kagera una wilaya 8 ambazo ni:
Bukoba manispaa
Karagwe
Ngara
Biharamlo
Muleba
Kyerwa
Misenyi
Bukoba vijijini