mkoa wa mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Wafanyabiashara wa vyakula wa mkoa wa mbeya faida wanazipataje?

    Niko mkoa wa mbeya hasa shughuli zangu zilizonileta nazifanyia mbeya mjini na Tukuyu. Hizi bei ndogo za vyakula wanazouza zimenifanya nijiulize hawa watu faida wnazipataje. Mfano Kande la mahindi mabichi na maharage wanauza sh 500,wakati dar mara ya mwisho kula kande niliuziwa 2,000/= Wali...
  2. Y

    Msaada wa kampuni au taasisi za kwenda kufanya field mkoa wa Mbeya

    Habari, Naomba kwa yeyote anaejua kampuni au sehem nyingine ambapo wanapokea wanafunzi wa field kwa kozi ya degree of marketing and public relations mkoa wa Mbeya.
  3. A

    Kuomba kazi ndani ya mkoa wa MBEYA

    Habari ndugu zangu wa Jammi Forum, mimi ni kijana wa miaka 29, mwenye uzoefu wa kusimamia watu na tasisii kwa miaka 7, saizi sina kazi, naomba kazi yoyote ndani ya mkoa wa Mbeya, kazi yoyote nipo tayari. Asante.
  4. kyagata

    Watu kutoka Mbeya pamoja na utajiri wa vyakula uliopo huko watu bado afya zao ni mgogoro

    Bado niko mbeya Juzi jumapili nikawa mgahawa mmoja maarufu hapo mtaa wa Soweto. Nikasema ngoja nifanye simple research kuhusu ulaji wa watu wa huku. Imagine mtu anakunywa supu na Chips, kweli hivi vitu vinaendana? Unakuta mwanamke anakupigia supu ya kongoro na ndizi afu anashushia na tochi...
Back
Top Bottom