Jeshi la polisi lina mapungufu mengi ambayo sina haja ya kuyataja. Upelelezi huwa unakwenda taratibu lalakini wahalifu watakamatwa tu.
Sasa kwa wewe mpumbavu uliyejihusisha / unayepanga kujihisisha na ujinga huu unaoendelea wa kuiba na kuteka watoto nikwambie kuwa utafikiwa tu.
Tena hata...