mkopo 100%

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Nikihama kozi, mkopo niliopata utaendelea kuwepo?

    Naombeni kuuliza, mimi hapa nilipata mkopo 80% niko naanza 1st year mwaka huu kwa kozi ya Metarogy. Je, naweza kuapply kwa dirisha hii lililo funguliwa UDOM na nikafanikiwa Diploma kwa kozi ya Nursing? Na naweza endelea kupata mkopo huo? Naombeni msaada mimi sijui chochote
  2. I

    Unapokuwa umepata mkopo 100% inakuwa na maana gani?

    Hivi unapokwa umepata mkopo asilimia 100 hii inakuwa ina maana gani? Pia soma: Ukipangwa mafunzo JKT na hujaripoti mafunzoni, je nikiomba mkopo HESLB nitapata?
Back
Top Bottom