Habari yenu wana jamvi.
Kuna mikopo ambayo huwa inatolewa na serikali kupitia hazina Kila mwaka kwenye halmashauri zetu.
Sasa nimefukuzia huo mkopo Miaka 3 sasa bila mafanikio hata sijui huwa nakosea wapi!! mara ya mwisho nimeomba mwaka huu majibu yao kwenye mfumo ni REJECTED....na hapo baada...